Alhamisi, 26 Juni 2014

Bodi Mpya ya Huduma za Maktaba yazinduliwa

Mgeni Rasmi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Consolata Mgimba akikabidhi zana za kazi kwa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Huduma za Maktaba nchini Lambetha Mahai wakati wa kuzindua bodi hiyo.



Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Huduma za Maktaba nchini Dkt Alli Mcharazo akitoa maelezo kwa Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Consolata Mgimba kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa na bodi hiyo









Hakuna maoni:

Chapisha Maoni