Jumatano, 2 Julai 2014

MABORESHO YA UKUSANYAJI WA TAKWIMU ZA ELIMU

Wizara ya  Elimu na  Mafunzo ya  Ufundi  yakutana na Wadau  wa Elimu  kujadili  namna  ya kuboresha  ukusanyaji wa Takwimu  za kielimu katika  Sekta ya  Elimu.
Wadau waliokutana ni pamoja na  Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI,  Wizara ya  Maendeleo  ya Jamii, Jinsia na Watoto, Wizara ya Fedha ,e-Government Agency, UNESCO,USAID,TENMET, SIDA, MOF, AGILE na Data Vision.











Maoni 2 :

  1. Jambo jema kwa maendeleo ya elimu nchini. Kujua takwimu sahihi na hatua moja muhimu katika kuweza kutekeleza mipango ya elimu.

    JibuFuta
  2. Agile wametupa mwanga sana Mtwara ikiwa Tanzania nzima mafanikio yataonekana na uchakakuaji mwisho.

    JibuFuta