Jumanne, 5 Aprili 2016

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi afanya ziara shule za Msingi za Diamond na Olympio



Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Mhe. Eng Stella Manyanya akipokelewa na viongozi wa shule za Msingi Diamond na Olympio wakati wa ziara yake.





Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Mhe. Eng Stella Manyanya akitembelea mazingira ya shule ya Msingi Olympio



Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Mhe. Eng Stella Manyanya akiongea na wanafunzi wa  shule ya Msingi Olympio




Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Mhe. Eng Stella Manyanya akiwa darasani na wanafunzi.



Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Mhe. Eng Stella Manyanya akizungumza na walimu wa shule za Msingi Olympio na Diamond

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni