ELIMU BLOG
Hii na Blogu mahsusi ya WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TEKNOLOJIA
Pages
(Hamishia kwenye ...)
Miundombinu Msingi & Sekondari
Miundombinu Vyuo
Media
contact us
▼
Ijumaa, 28 Aprili 2017
Mwongozo wa Kitaifa wa huduma ya maji, Afya na usafi wa mazingira shuleni wazinduliwa.
›
Kaimu Kamishna wa Elimu Nicholas Bureta amewataka wadau wa Program ya Maji, Afya na usafi wa Mazingira shuleni kurejea mipango yao ili...
Alhamisi, 6 Aprili 2017
DKT AKWILAPO KATIBU MKUU MPYA WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
›
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt John Pombe Magufuli leo amemuapisha Dkt Leonard Akwilapo kuwa Katibu Mkuu Mpya wa Wizara ya...
Maoni 1 :
Jumatatu, 27 Machi 2017
KATIBU MKUU AKAGUA UJENZI WA CHUO CHA VETA, MKOANI MOROGORO.
›
Katibu mkuu wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Maimuna Tarishi ametembelea na kukagua ujenzi unaoendelea wa majengo ya chuo cha Veta ki...
Ijumaa, 24 Machi 2017
NAIBU KATIBU MKUU AFUNGA KONGAMANO LA WADAU WA ELIMU
›
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt Leonard akifunga kongamano la siku tatu la wadau wa Elimu waliokutana kuzu...
UZINDUZI WA MAKTABA.
›
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt Leonard Akwilapo akizindua maktaba ya Makumbusho ya Taifa Baada ya kupokea vif...
Jumatano, 22 Machi 2017
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAENDELEO NA HUDUMA ZA JAMII IKIKAGUA JENGO LA TEACHING TOWER LILILOPO DIT.
›
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhandisi Stella Manyanya akiwa na baadhi ya wajumbe wa kamati ya Bunge ya Maendeleo na huduma ...
Jumanne, 21 Machi 2017
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAENDELEO NA HUDUMA ZA JAMII YATEMBELEA MLOGANZILA.
›
Kamati ya bunge ikiongozwa na Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya Maendeleo na huduma za jamii, Peter Serukamba na baadhi ya viongo...
‹
›
Nyumbani
Ona toleo la wavuti