Baadhi ya miundombinu iliyojengwa na Mpango wa Lipa Kulingana na Matokeo (EP4R) katika shule ya msingi Buhangija iyopo mkoani Shinyanga |
Mtoto mwenye ulemavu wa kutokuona akitumia kifaa maalum kwa ajili ya kuandikia katika shule ya msingi Buhingili. Kifaa hicho ni moja ya vifaa vilivyonunuliwa kwa ajili ya watoto wenye mahitaji maalum . |