Alhamisi, 4 Machi 2021
Jumanne, 2 Machi 2021
Jumapili, 7 Februari 2021
Jumanne, 5 Januari 2021
MWALIKO WA WADAU KUTOA MAONI KWENYE RASIMU YA MIONGOZO YA USALAMA WA MAZINGIRA NA JAMII KATIKA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUBORESHA ELIMU YA JUU KWA MABADILIKO YA KIUCHUMI (HEET) NCHINI
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (WyEST) kwa kushirikiana na Benki ya Dunia, inafanya maandalizi ya kutekeleza Mradi wa Kuboresha Elimu ya Juu kwa Mabadiliko ya Kiuchumi (Higher Education for Economic Transformation - HEET) Nchini. Lengo la Mradi ni kuongeza udahili katika vyuo vikuu vya serikali, kuongeza ubora wa mafunzo ili kuendana na soko la ajira kwenye programu za kipaumbele na kuboresha utendaji wa Serikali katika kusimamia Elimu ya Juu nchini.
Katibu Mkuu,
Wizara ya Elimu, Sayansi na
Teknolojia,
S.L.P. 10,
DODOMA
Baruapepe: heet@moe.go.tz
Aione: Tabitha Etutu
Miongozo hiyo inapatikana kupitia tovuti ya WyEST www.moe.go.tz
Kwa maelezo zaidi
wasiliana na Tabitha Etutu kwa tabitha.etutu@moe.go.tz au Sakanda Gaima kwa sakanda.gaima@moe.go.tz.
INVITATION FOR STAKEHOLDER TO COMMENT THE DRAFT ENVIRONMENTAL AND SOCIAL SECURITY GUIDELINES IN THE IMPLEMENTATION OF THE HIGHEST EDUCATION IMPROVEMENT PROGRAM (HEET)
The Ministry of Education, Science and Technology (MoEST) in collaboration with the World Bank is preparing a five years program for higher education improvement, “Higher Education for Economic Transformation (HEET) project”. The development objective of the project is to strengthen the learning environment and labour market alignment of priority programs at beneficiary universities and improve the management of the higher education system. The project will invest in requisite infrastructure for modern and effective teaching and research, and by training to the highest standard the teachers, researchers and administrators needed by universities to achieve to their full potential.
The HEET
Project is geared towards meeting the following strategic objectives (i) to
increase enrolment in priority disciplines,
(ii) to improve the relevance and
quality of programs at universities to meet the conditions and standards of the
current and future labour market, (iii) to strengthen system-level
coordination, management, and regulations to ensure quantity, quality and
relevance of higher education in Tanzania, and (iv) to increase the rate and
extent of graduate employability through improving the relevance of curricula
and create new and demand-driven programs.
The
MoEST, have prepared Environmental and Social Safeguard instruments which will
guide implementation of HEET,
in alignment with the World Bank Safeguard Policies. The instruments include:
- Resettlement Policy Framework,
- Environmental and Social Management Framework, and
- Stakeholders Engagement Plan.
The three instruments identify how risks will be
mitigated and prevented, during project implementation.
Given the
importance of these guidelines, MoEST invites all stakeholders to comment
before the guidelines are submitted to the next level. The deadline for
submissions is 15 January 2021. Stakeholder comments may be submitted by post
or email to the following address: -
Permanent Secretary,
Ministry of Education, Science and Technology,
P. O. Box 10,
DODOMA
Email: heet@moe.go.tz
Att: Tabitha Etutu
The instruments are available for stakeholders’ consultation in the
website Ministry’s www.moe.go.tz.
For further enquires contact: Tabitha
Etutu tabitha.etutu@moe.go.tz or Sakanda Gaima sakanda.gaima@moe.go.tz.