Waziri
wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako akifungua mkutano wa nchi
kumi na tatu za ukanda wa Afrika Mashariki kuhusu utekelezaji wa Malengo yaMaendeo
Endelevu SDGs4 ya elimu 2030 ambao unafanyika tarehe 15/02/2017 hadi tarehe 16/02/2017 katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere.
Waziri
wa Elimu amebainisha malengo ya mkutano huo kuainisha changamoto zinazofanana
na kubadilishana uzoefu wa namna wa kukabiliana na changamoto hizo, ambapo kwa
pamoja wanahitaji uwepo kwa elimu
jumuishi yenye usawa bila kujali wanakotoka.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Zingatia: Mwanachama wa blogu hii tu ndiye anayeweza kuchapisha maoni.