Alhamisi, 16 Februari 2017

Mkutano wa SDGs4 unaendelea leo katika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini DSM nchini Tanzania

Mawaziri kutoka nchi Kumi tatu, wawakilishi, mabalozi na wabunge wakifuatilia kwa makini hotuba ya waziri wa elimu katika mkutano wan chi za Ukanda wa Afrika Mashariki wa akuaanisha changamoto zinazofanana katika mfumo wa  elimu ili kubadilishana uzoefu ili kuzipatia ufumbuzi changamoto hizo. Mkutano huo unatarajiwa kuitimishwa leo jioni.







Mawaziri kutoka nchi Kumi tatu, wawakilishi, mabalozi na wabunge wakifuatilia kwa makini hotuba ya waziri wa elimu katika mkutano wan chi za Ukanda wa Afrika Mashariki wa akuaanisha changamoto zinazofanana katika mfumo wa  elimu ili kubadilishana uzoefu ili kuzipatia ufumbuzi changamoto hizo. Mkutano huo unatarajiwa kuitimishwa leo jioni.







Hakuna maoni:

Chapisha Maoni