Ijumaa, 24 Machi 2017

NAIBU KATIBU MKUU AFUNGA KONGAMANO LA WADAU WA ELIMU

Naibu Katibu Mkuu  wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt Leonard akifunga kongamano la siku tatu la wadau wa Elimu waliokutana kuzungumzia masuala ya uongozi na usimamizi wa masuala ya Elimu katika karne ya 21 lililofanyika katika Chuo Kikuu cha Aga Khan, Taasisi ya kuendeleza Elimu Afrika Mashariki.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni