Ijumaa, 24 Machi 2017

UZINDUZI WA MAKTABA.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt Leonard Akwilapo akizindua maktaba ya Makumbusho ya Taifa Baada ya kupokea vifaa vya maktaba hiyo ikiwa pamoja na vishikwambi (TABLETS  kutoka kwa  Serikali ya  Watu wa Korea kupitia mradi wa THANK YOU SMALL LIBRARY.





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni