Jumanne, 15 Julai 2014

WIZARA YA ELIMU KUKAMILISHA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO 2014

 Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inakamilisha sera ya Elimu na Mafunzo 2014  kwa kuingiza maboresho  yaliyotolewa kwenye Kikao cha Baraza la Mawaziri mapema mwezi Juni 2014.

Viongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kikao kazi cha kuingiza maboresho  katika Rasimu ya Sera ya Elimu na Mafunzo 2014 yaliyotolewa kwenye Kikao cha Baraza la Mawaziri mapema mwezi Juni 2014

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni