Jumatano, 22 Machi 2017

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAENDELEO NA HUDUMA ZA JAMII IKIKAGUA JENGO LA TEACHING TOWER LILILOPO DIT.

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhandisi Stella Manyanya akiwa na baadhi ya wajumbe wa kamati ya Bunge ya Maendeleo na huduma za jamii wakikagua jengo la kufundishia, ambalo ndani yake kuna ofisi, chumba cha ujasiriamali, na vyumba vya madarasa, (Teaching Tower)








Hakuna maoni:

Chapisha Maoni