Alhamisi, 25 Oktoba 2018


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA


MAJINA YA WATANZANIA WALIOPATA UFADHILI WA MASOMO JAMHURI YA ALGERIA MWAKA WA MASOMO 2018 – 2019
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inawapongeza wanafunzi wote waliopata fursa za ufadhili wa masomo kutoka Serikali ya Jamhuri ya Algeria kwa mwaka wa masomo 2018/2019.  Wanufaika wote mnatakiwa kuzingatia maelekezo muhimu ili kufanikisha safari yenu ya kwenda masomoni.
Maelekezo Muhimu
Wanafunzi wote wanatakiwa kukamilisha maandalizi ya safari kwenda masomoni nchini Algeria kwa kufanya mambo yafuatayo:
(i)                 Kila mwanafunzi anatakiwa kuwasilisha “passport” yaani hati ya kusafiria ubalozi wa Algeria kwa ajili ya VISA.
(ii)              Kulipa USD 50 kwa ajili ya VISA.  Ada ya VISA italipwa ubalozi wa Algeria.
(iii)            Awe na picha passport size 3 zenye kivuli cheupe.
(iv)            Tarehe ya safari ni kati ya tarehe 5 – 11/11/2018.
NB: Iwapo mnufaika atakuwa na changamoto awasiliane na Mratibu Bwana L. Malili Na. ya simu ni 0715 150047.

NA
NAMBA YA USAJILI
JINA LA
MWANAFUNZI
JINA LA CHUO
PROGRAMMU
1
8TZA4703
Kassim Adila Ally
University of Science and Technology in Oran
Science and Technology
2
8TZA4701
Oscar Gomba
University of Constantine 1
Natural Science and life
3
8TZA4626
Mkumbo Nakembetwa John
University of Setf 1
Natural Science and Life
4
8TZA4375
Faru Suhayrnan R George
University of Science and Technology in Blida 1
Science and Technology Science
5
8TZA4126
Masige Goodluck Stephano
University of Constantine 1
English
6
8TZA4118
Ngwenya Alfonce Simon
University Sidi Bel Abbes
English
7
8TZA4132
Malekela Yonathani Frank
University of Constantine 1
Veterinary Science
8
8TZA4175
Mohamed Ali Mlenge
University of Tlemcen
Science and Technology
9
8TZA4182
Mwakikuti Ezra George
University of Blida 1
Veterinary Science
10
8TZA4165
Malemo Francisca Masatu
University of Science and Technology in Oran
Hydraulic
11
8TZA4172
Kabyazi Edibily Egbert
University of Bejaia
Economic Science Management and Trade
12
8TZA4039
Hussein Mariam Ismail
University of Constantine 1
English
13
8TZA4122
Meza Ismail Omary
University of Oran 2
English

Imetolewa na:
Katibu Mkuu,
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,
25/10/2018



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni