Alhamisi, 9 Januari 2020

WAZIRI NDALICHAKO AFURAHISHWA NA MATOKEO KIDATO CHA NNE


Matokeo haya ni ya kwanza tangu kutekeleza Mpango wa Elimu bila Malipo, baadhi ya watanzania waliona ni jambo ambalo halitawezekana sasa tunashuhudia kiwango cha ufaulu kupanda kutoka 67.91% mwaka 2015 hadi kufikia 80.65% mwaka 2019.

Natoa pongezi za dhati kwa wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani yao na kwa walimu ambao wamekuwa nao bega kwa bega na kuwawezesha kupata matokeo mazuri

#Profesa Ndalichako
#TunaboreshaElimuYetu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni