Jumatano, 15 Januari 2020

MAKABIDHIANO YA MAGARI YA VYUO VYA UALIMU

 Serikali imetoa magari mapya 35 kwa Vyuo vya Ualimu vya Tanzania Bara yenye thamani ya bilioni 5.2 kwa ajili ya kurahisisha mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji

#Profesa Joyce Ndalichako

# Halfa ya makabidhiano ya magari ya vyuo vya ualimu














Jumapili, 12 Januari 2020

HAFLA YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI SKULI YA MWANAKWEREKWE ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli Januari 11, 2020 ameweka jiwe la Msingi katika Skuli Mwanakwerekwe, Zanzibar.
 
Hafla hiyo ya uwekaji wa jiwe la msingi imehudhuriwa na Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali.
Akihutubia wananchi waliohudhuria katika hafla hiyo Rais  John Pombe Magufuli ameipongeza Serikali ya Awamu ya Saba kwa miaka tisa kwa kuiletea Maendeleo Zanzibar ikiwemo Sekta ya Elimu, huku akiwataka Viongozi katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kusimamia katika kuongeza ufaulu wa Shule za visiwani katika mitihani ya kitaifa.
Amesema katika kipindi cha miaka tisa idadi ya wanafunzi imeongezeka katika skuli za Maandalizi kutoka 238 mwaka 2010  na kufikia wanafunzi 382 kwa mwaka 2018. Kwa upande wa Sekondari idadi imefikia wanafunzi 381 kutoka 299 mwaka 2010 na Vyuo Vikuu  kutoka 767 mwaka 2010 na kufikia Wanafunzi 3,624 mwaka 2018.
 
Skuli ya Mwanakwerekwe inajengwa kwa  gharama ya shilingi Bilioni 2.628 ambazo ni  mkopo wa Dola milioni 35 ambazo ni zaidi Bilioni 80 kutoka Benki ya Dunia na  zimejenga skuli mbalimbali ikiwemo Mwanakwerekwe.

Alhamisi, 9 Januari 2020

WAZIRI NDALICHAKO AFURAHISHWA NA MATOKEO KIDATO CHA NNE


Matokeo haya ni ya kwanza tangu kutekeleza Mpango wa Elimu bila Malipo, baadhi ya watanzania waliona ni jambo ambalo halitawezekana sasa tunashuhudia kiwango cha ufaulu kupanda kutoka 67.91% mwaka 2015 hadi kufikia 80.65% mwaka 2019.

Natoa pongezi za dhati kwa wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani yao na kwa walimu ambao wamekuwa nao bega kwa bega na kuwawezesha kupata matokeo mazuri

#Profesa Ndalichako
#TunaboreshaElimuYetu

Jumamosi, 4 Januari 2020

TAARIFA KWA UMMA


UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINISTRY OF EDUCATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY


QUEEN ELIZABETH COMMONWEALTH SCHOLASHIPS (QECS) TENABLE IN THE HOSTING UNIVERSITIES FOR QECS 2020

1.0 Call for Application
The General public is hereby informed that, the Government of the United Kingdom has opened the new Queen Elizabeth Commonwealth Scholarships (QECS) to eligible Tanzanians to pursue Masters Studies in the hosting Universities for QECS in the academic year 2020-2021. Interested candidates are highly encouraged to apply under the Association of Commonwealth Universities.

2.0 Mode of Application
The application of the program and University should be done through QECS hosting Universities found in the following link https://www.acu.ac.uk/funding-opportunities/for-students/scholarships/queen-elizabeth-commonwealth-scholarships/

3.0 Submission
All applications should be made directly to the QECS hosting Universities before 4:00 PM (UCT) (7:00 PM EAST AFRICA TIME) on 15th January 2020.

Note:
It is important that applicants should read and understand all instructions when filling the application forms, attach all the required documents such as certified copies of academic certificates, transcripts, and birth certificates and submit them online through the QECS hosting Universities

Issued by:
Permanent Secretary,
Ministry of Education, Science and Technology,
Government City,
Mtumba block,
Afya Street,
P.O.BOX 10,
40479 DODOMA