Jumatano, 15 Januari 2020

MAKABIDHIANO YA MAGARI YA VYUO VYA UALIMU

 Serikali imetoa magari mapya 35 kwa Vyuo vya Ualimu vya Tanzania Bara yenye thamani ya bilioni 5.2 kwa ajili ya kurahisisha mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji

#Profesa Joyce Ndalichako

# Halfa ya makabidhiano ya magari ya vyuo vya ualimu














Hakuna maoni:

Chapisha Maoni