Jumanne, 29 Machi 2016

Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi atembelea na kuona maendeleo ya ujenzi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi Muhimbili Kampasi ya Mloganzila


Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Prof Joyce Ndalichako akisikiliza  maelezo kuhusu hatua mbalimbali zilizofikiwa katika ujenzi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili Kampasi ya Mloganzila kutoka kwa wasimamizi wa ujenzi


Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Prof Joyce Ndalichako akikagua maeneo  mbalimbali ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili Kampasi ya Mloganzila


 
Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi akikaangalia ramani ya ujenzi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili Kampasi ya Mloganzila kinachoendelea kujengwa.


Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi akizungumza na viongozi wa Chuo Kikuu  cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili pamoja na Wakandarasi (Hawapo Pichani)  kuhusu  ujenzi wa Kampasi ya Mloganzila alipotembelea ili kuonea maendeleo ya ujenzi huo.


 
Moja ya Jengo la  Chuo Kikuu  cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili Kampasi ya Mloganzila linaloendelea kujengwa

 



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni