Jumatatu, 6 Februari 2017

Waziri wa Elimu atoa vyeti kwa Halmashauri zilizofanya vizuri katika sekta ya Elimu nchini.


    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako akikabidhi hundi ya Shilingi Milioni Mia Saba na Nne, Mia Sita Ishirini na Saba Elfu na Mia Nane Hamsini Na Sita (704,627,856/=) kwa Halmashauri ya kwanza ya Kaliua Kati Ya Halmashauri zote Nchini zilizoshindanishwa katika utekelezaji wa Mpango wa Lipa Kulingana na Matokeo [ (P4r).




      Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako akikabidhi cheti cha ushindi kwa Halmashauri ya Kaliua iliyopata ushindi wa kwanza Kati ya Halmashauri zote Nchini zilizoshindanishwa katika utekelezaji wa Mpango wa Lipa Kulingana na Matokeo [ (P4r).


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni