Jumanne, 6 Desemba 2016

Waziri wa Elimu azindua mashindano ya Ujuzi


Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako akizungumza katika uzinduzi wa Mashindano ya Ujuzi Afrika Mashariki (East Africa Skills Competition) yanayofanyika katika Chuo cha Ufundi cha Dare es Salaam.




Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako akisikiliza kwa makini maelezo kutoka kwa mmoja wa washiriki wa mashindano ya Ujuzi Afrika Mashariki (East Africa Skills Competition) yanayofanyika katika Chuo cha Ufundi cha Dare es Salaam.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni